MSAADA: maana la hii sentesi kwa kiswahili

MSAADA: maana la hii sentesi kwa kiswahili

Smart Technician

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2015
Posts
653
Reaction score
828
nlikua nafanya application nkakuta na hii sentesi
"Seeks accommodation"
na inatakiwa kuchagua
1.Yes if available
2.No

Sasa mimi ninataka kuomba chuo hicho na nipatiwe na malazi chuoni je nichague 1 au 2 ili nipate malazi ya chuo

Samahani kwa wale nliowakwaza kwa kutokujua maana ya hio lugha ikiwa nataka omba chuo

Natanguliza shukrani zangu kwa wote mtao nielewesha
 
nlikua nafanya application nkakuta na hii sentesi
"Seeks accommodation"
na inatakiwa kuchagua
1.Yes if available
2.No

Sasa mimi ninataka kuomba chuo hicho na nipatiwe na malazi chuoni je nichague 1 au 2 ili nipate malazi ya chuo

Samahani kwa wale nliowakwaza kwa kutokujua maana ya hio lugha ikiwa nataka omba chuo

Natanguliza shukrani zangu kwa wote mtao nielewesha
1
 
Kama unataka na malazi hapohapo chuoni jibu ni namba 1 "yes if available "
Kilaza mkubwa wewe

So rude and unkind!
"Those whose palm kernels were cracked for them by benevolent spirits should not forget to be humble!"
 
Kama unataka na malazi hapohapo chuoni jibu ni namba 1 "yes if available "
Kilaza mkubwa wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru kwa ufafanuzi
Ila siku nyingine msinitukane mana mtazuia na wengine kuomba elekezwa vitu vidogo kama hivi. mi naamini ujinga na ukilaza ni pale kitu usipokijua na kujifanya unajua au hujui unakaa kimya kuogopa elimishwa
 
Inategemea na chuo. Kama ni UD, sasa hivi kuna malazi ya kutosha maana kuna hostel mpya zimejengwa. Kama ni UDOM, huko hata usiwaze kuna vyumba vya kutosha. Kama ni IFM, wala hata usijisumbue kwa kuwa first year huwa hawapewagi vyumba. Kama ni Mzumbe ya Morogoro, pale karibu wanafunzi wote wanapataga malazi. Kama ni SUA, pia accomodation sio shida. Kama ni CBE ya Dar, sina uhakika sana but by the look of things, pale napo accomodation hazipatikani kwa urahisi...

Kama unataka na malazi hapohapo chuoni jibu ni namba 1 "yes if available "
Kilaza mkubwa wewe
Jamanii! This is not a best way to help somebody who has needed your help...
 
Inategemea na chuo. Kama ni UD, sasa hivi kuna malazi ya kutosha maana kuna hostel mpya zimejengwa. Kama ni UDOM, huko hata usiwaze kuna vyumba vya kutosha. Kama ni IFM, wala hata usijisumbue kwa kuwa first year huwa hawapewagi vyumba. Kama ni Mzumbe ya Morogoro, pale karibu wanafunzi wote wanapataga malazi. Kama ni SUA, pia accomodation sio shida. Kama ni CBE ya Dar, sina uhakika sana but by the look of things, pale napo accomodation hazipatikani kwa urahisi...


Jamanii! This is not a best way to help somebody who has needed your help...
Mkuu ni DIT vipi pala accommodation naweza pata kama first year anaechukua bachelor?
 
So rude and unkind!
"Those whose palm kernels were cracked for them by benevolent spirits should not forget to be humble!"
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Mkuu ni DIT vipi pala accommodation naweza pata kama first year anaechukua bachelor?
I have no idea about DIT. Since nimekuja Dar back 2005 nimewahi kukanyaga kwenye premisses tha DIT once and that was way back in 2006! So far, I am aware kuwa DIT huwa wana hostels mle ndani, na pia sijawahi kusikia 'Vyuo mchundo' viwe na uhaba wa vyumba. Hii inajumuisha Mbeya tech (zamani), Arusha Tech na Dar Tech..
 
Huo chuoni utaenda kusomaje dogo?au unaenda kusomea namna ya kuchora vikatuni?
Kiukweli taifa letu pendwa lilishaingia shimoni..mwana Chuo anashindwa kung'amua sentesi nyepesi hivi?
Sasa Ata dictionary huna?
 
Inategemea na chuo. Kama ni UD, sasa hivi kuna malazi ya kutosha maana kuna hostel mpya zimejengwa. Kama ni UDOM, huko hata usiwaze kuna vyumba vya kutosha. Kama ni IFM, wala hata usijisumbue kwa kuwa first year huwa hawapewagi vyumba. Kama ni Mzumbe ya Morogoro, pale karibu wanafunzi wote wanapataga malazi. Kama ni SUA, pia accomodation sio shida. Kama ni CBE ya Dar, sina uhakika sana but by the look of things, pale napo accomodation hazipatikani kwa urahisi...


Jamanii! This is not a best way to help somebody who has needed your help...
Who has what?
 
Sikulaumu kwa kutokujua maana ya sentensi husika . Lakini kama mwanafunzi kuna njia nyingi ungeweza kutumia kujua maana ya hayo maelezo. Mfano kifaa na gharama uliyotumia kuingilia JF vingekuwezesha bila shaka kufahamu maana ya hayo maelezo. Sina nia mbaya lakini.
 
Kila mkubwa wewe
Chagua 1 kama unataka malazi kwenye hko chuo kama hutaki hit 2 hapo, bashite we
 
Back
Top Bottom