MSAADA -m TCU SELECTION 2013/2014

TCU haitoi majina ya waliochaguliwa. Majina yanatolewa na vyuo vikuu husika. TCU wanachofanya ni kuweka utaratibu mmoja wa kuchagua wanafunzi kwa vigezo vilivyowekwa na vyuo vyenyewe wakizingatia vigezo elekezi vya TCU. Baada ya vigwezo hivyo kukamilika kwa utaratibu wa TCU, basi TCU hupeleka majina kwenye vyuo husika ili wahakiki kama waliochaguliwa wamekidhi vigezo vyao. Vyuo husika wakishajiridhisha ndio wanatangaza majina katika tovuti zao. Inaonekana ndugu yangu hujaelewa maana ya CAS. TCU haina chuo chake kikuu cha kujitangazia majina yake. Ni juu yako kwenda kwenye tovuti za vyuo ulivyopeleka chaguo lako na ukaandikiwa YES, you have met minimum requirement. Kizazi hiki cha Mulugo nacho!!! kazi kwelikweli.
 
TCU haitoi majina ya waliochaguliwa. Majina yanatolewa na vyuo vikuu husika. TCU wanachofanya ni kuweka utaratibu mmoja wa kuchagua wanafunzi kwa vigezo vilivyowekwa na vyuo vyenyewe wakizingatia vigezo elekezi vya TCU. Baada ya vigwezo hivyo kukamilika kwa utaratibu wa TCU, basi TCU hupeleka majina kwenye vyuo husika ili wahakiki kama waliochaguliwa wamekidhi vigezo vyao. Vyuo husika wakishajiridhisha ndio wanatangaza majina katika tovuti zao. Inaonekana ndugu yangu hujaelewa maana ya CAS. TCU haina chuo chake kikuu cha kujitangazia majina yake. Ni juu yako kwenda kwenye tovuti za vyuo ulivyopeleka chaguo lako na ukaandikiwa YES, you have met minimum requirement. Kizazi hiki cha Mulugo nacho!!! kazi kwelikweli.

umeanza vizuri ,ukaelezea vizuuri ila umemaliza vibaya mkuu.
 
TCU haitoi majina ya waliochaguliwa. Majina yanatolewa na vyuo vikuu husika. TCU wanachofanya ni kuweka utaratibu mmoja wa kuchagua wanafunzi kwa vigezo vilivyowekwa na vyuo vyenyewe wakizingatia vigezo elekezi vya TCU. Baada ya vigwezo hivyo kukamilika kwa utaratibu wa TCU, basi TCU hupeleka majina kwenye vyuo husika ili wahakiki kama waliochaguliwa wamekidhi vigezo vyao. Vyuo husika wakishajiridhisha ndio wanatangaza majina katika tovuti zao. Inaonekana ndugu yangu hujaelewa maana ya CAS. TCU haina chuo chake kikuu cha kujitangazia majina yake. Ni juu yako kwenda kwenye tovuti za vyuo ulivyopeleka chaguo lako na ukaandikiwa YES, you have met minimum requirement. Kizazi hiki cha Mulugo nacho!!! kazi kwelikweli.

acha dharau! Kizazi cha mulugo ndo nn sasa! Kwan nan acyejua kwamba TCU kaz yao ni ku admitt wanafunzi but registration unafanyiaa chuoni..! Jipangee unajiona umetoaa ushaur kumbe huna lolote
 
ulimuuliza akwambie amechaguliwa wapi eh? basi we noma

Allen, we inaelekea ni mgumu wa kuelewa. kama unategemea kwenda University-ex form six, you have to make up you mind, otherwise you will face the consequences you can predict! Bye! Nisaliie wa Musoma na Kiabakari,Buhemba etc
 
acha dharau! Kizazi cha mulugo ndo nn sasa! Kwan nan acyejua kwamba TCU kaz yao ni ku admitt wanafunzi but registration unafanyiaa chuoni..! Jipangee unajiona umetoaa ushaur kumbe huna lolote

You are very right! TCU wameweka standards - Form six passes ( and non school candidates equivalent qualifications/passes ) applicable za kujiunga na higher learning institutions-vyuo. Standards hizi zimekuwa linked na NECTA examination results ie the data bases are linked with students results obtainable from NECTA. Therefore you will get your selection notification in the first instance from TCU. Of course copies are then sent to respective universities where registration process are effected.
 
Back
Top Bottom