Msaada: M-Pesa MasterCard

Umeweka salio kiasi gani kwa kadi yako?


Kama haina pesa ingia kwenye menu ya kadi yako kupitia mpesa na uweke salio na hakikisha salio linaendana na kitu unachotaka nunua pia kuwe na excess ya 4% ambayo ni gharama ya exchange rates. Ahsante
 
Inaingia wapi SASA mbona tunatishana??
Niweke uzoefu wangu kwa mtandao wa Kikuu.com

Iwapo dili litabuma na hela yako kurudishwa huwa wanakupa notification ya kuactivate wallet(akaunti yako ya malipo ya mtandao huo) kisha pesa yake wanakuwekea humo kama vile salio. Hivyo hutaweza itumia kwa njia nyingine yoyote zaidi ya kunua tena vitu kwako

 
Wakuu je refund unapata vipi maana hapa nimeopen dispute aliexpress wamenirefund USD 30 ila haijaingia kwenye mpesa Master card.
Naombeni muongozo tafadhali
 
Jamaa wameanza kuzingua au wanatuibia kiaina!!
Zaidi ya Mara mbili sasa nimehamisha pesa kutoka MasterCard kuja M-PESA tatizo hela inapunguzwa ila haiingii mpesa
 
Jamaa wameanza kuzingua au wanatuibia kiaina!!
Zaidi ya Mara mbili sasa nimehamisha pesa kutoka MasterCard kuja M-PESA tatizo hela inapunguzwa ila haiingii mpesa
Ina expire mwaka gani hiyo kadi yako?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…