Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,306
- 3,413
natumia sony vaio na os ya window 8takriban kipindi cha miezi tisa nyuma computer yangu ilianza tabia ya kujorestart ghafla mara tu unapoishawa baadae ikaja ikakaa sawa then ikaanza tatizo la kustack ghafla tu unapoitingisha kwa mfano unaiotoa kwenye meza na kuweka mapajani kwa kifupi ilikuwa haitaki mtikisiko wa aina yoyote ule hata uwe mdogo kiasi gani sasa,wiki moja nyuma kutoka sasa imeanza tatizo jingine haiwaki ukiwasha mpk uchomeke waya wa umeme kwenye computer hata kama betri ina charge full jana jioni hata ukiweke waya wa umeme bado kuwaka kwakeni mtihano kuna saa inawaka kuna saa haiwaki yaani ni kubahatisha tu,kwa mwenye kujua nini kinaweza kikawa tatizo la computer yangu,na nini napaswa nifanye?? Natanaguliza sukrani,niko mbioni kwenda kumuona fundi lakini ningependa kusikia mawazo yenu ili nipate mwanga wa kujua tatizo ahsanteni