Msaada laptop yangu inanisumbua

Msaada laptop yangu inanisumbua

Jeffer

Member
Joined
Aug 14, 2012
Posts
9
Reaction score
2
Nina laptop yangu aina ya samsung, tatizo hii laptop ukiwa unatumia bila kuconnect kwenye umeme halafu ikakata chaj ukija kuiwasha haiwaki kabisa, inaaanza kama inawaka then inablink tu. Hapo hadi uiformat ndo itakubal hiv tatizo litakuwa n nn wadau naomba msaada kwa hilo!
 
nionavyo mimi
ungejaribu kuitoa Iyo HDD, na ujaribu nyingne kuiwasha tena, kama tatizo bado uta
feedback
 
Uwe unaangalia betri signals kadri unavyotumia ukiona imebaki 20% au 30% irudishie kwenye umeme. Sasa wewe unatumia tu bila kuangalia chaji imebaki kiasi gani unategemea nini?
 
Inategemea mtu atakaekuwa anatumia!! Na ninachotaka n kutatua tatizo ndo maana nikaomba msaada!
 
Nina laptop yangu aina ya samsung, tatizo hii laptop ukiwa unatumia bila kuconnect kwenye umeme halafu ikakata chaj ukija kuiwasha haiwaki kabisa, inaaanza kama inawaka then inablink tu. Hapo hadi uiformat ndo itakubal hiv tatizo litakuwa n nn wadau naomba msaada kwa hilo!
Laptop zinatofautiana,zingine kama ulizitumia mpaka charge ikaisha kwenye battery,ukiwasha unatakiwa uiache walau ten to twenty minutes battery ipate charge kwa kiasi fulani ndiyo itawaka.Otherwise unaweza hisi imeharibika,sijajua hiyo yako.Na kama wengine walivyokuambia kwanini huache mpaka battery iishiwe charge kabisa?
Badilisha notification za battery walau ikibakiza asilimia 20 ikupe alarma ya battery low na siyo asilimia 10 au 5.
 
Back
Top Bottom