Paul Mchumi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2013
- 1,040
- 1,273
Habari ya muda huu wadau wa hapa!
Nina laptop yangu aina ya Dell imemwagiwa maji na mtoto kwenye maeneo ya keyboad,kwa mujibu wa huyu chautundu wangu inaonyesha amemwagia maji kikombe kizima,huwa namwachia Laptop anatazama makatuni yake,sasa leo nataka niitumie nawasha haiwaki,nikajua labda tatizo ni betry lakini wapi,nikamuuliza chautundu anasema ni maji yalimwagikia,na it seems alimwagia maji wiki imepita mpaka sasa,sielewi nifanyeje na Laptop hii ina nyaraka zangu muhimu sana,naombeni msaada kipi cha kufanya!
Nina laptop yangu aina ya Dell imemwagiwa maji na mtoto kwenye maeneo ya keyboad,kwa mujibu wa huyu chautundu wangu inaonyesha amemwagia maji kikombe kizima,huwa namwachia Laptop anatazama makatuni yake,sasa leo nataka niitumie nawasha haiwaki,nikajua labda tatizo ni betry lakini wapi,nikamuuliza chautundu anasema ni maji yalimwagikia,na it seems alimwagia maji wiki imepita mpaka sasa,sielewi nifanyeje na Laptop hii ina nyaraka zangu muhimu sana,naombeni msaada kipi cha kufanya!