truegooner
JF-Expert Member
- Apr 23, 2014
- 779
- 339
Habarini.
Nina tatizo na laptop yangu. Nilikuwa na-install program Fulani katika laptop yangu ya HP G62. Katika kui-restart ikawa inachukua zaidi ya dk 20. Yaani iliganda, hivyo nikajaribu kuizima kwa kui-force. Nili-hold down the power button kwa secunde kama 15 lakini bado ilikataa kuzima, hivyo nikai-unplug kutoka kwenye umeme kasha nikatoa betri ndo ikazima.
Lakini toka hapo haiwaki tena. Nimesoma forum kibao jinsi ya kutatua tatizo lakini imegoma. Je kuna mtu ambaye amewahi pata tatizo kama hili au kulisikia mahali na pia akawa na njia ya kulitatua? Yaani maisha bila laptop yamekuwa magumu kweli.
Msaada tafadharini. Nipo Dar es salaam, ukonga.
Nina tatizo na laptop yangu. Nilikuwa na-install program Fulani katika laptop yangu ya HP G62. Katika kui-restart ikawa inachukua zaidi ya dk 20. Yaani iliganda, hivyo nikajaribu kuizima kwa kui-force. Nili-hold down the power button kwa secunde kama 15 lakini bado ilikataa kuzima, hivyo nikai-unplug kutoka kwenye umeme kasha nikatoa betri ndo ikazima.
Lakini toka hapo haiwaki tena. Nimesoma forum kibao jinsi ya kutatua tatizo lakini imegoma. Je kuna mtu ambaye amewahi pata tatizo kama hili au kulisikia mahali na pia akawa na njia ya kulitatua? Yaani maisha bila laptop yamekuwa magumu kweli.
Msaada tafadharini. Nipo Dar es salaam, ukonga.