Msaada: Laptop gani ni nzuri na ya kisasa?

Msaada: Laptop gani ni nzuri na ya kisasa?

Google 'Microsoft Azure'. Pengine mi mwenyewe ndo najichanganya kusema ni laptop za Microsoft kumbe sio. Utakachokiona naomba utufafanulie Chief-Mkwawa

azure ni cloud na virtual machine si hardware ambayo unaimiliki nyumbani kwako inakua huko online ila unaweza kuiacess kwenye chombo chochote cha internet. speed ya hii cloud ni zaidi ya 40gb/s na inatumia processor za xeon na ram 56gb na hdd hadi 16tb. kitu kama hiki hakiwezi kaa kwenye laptop so bila shaka sicho ulichokiona.
 
Last edited by a moderator:
kwa matumizi ya jamaa na budget yake nafkiri anadeserve kitu kama hicho, though sina uhakika kama hio laptop ipo ndani ya budget yake
Habari mkuu! naomba ushauri juu ya kununua laptop ambayo ntaitumia kwa masomo,gaming kama gta V,movie na net nafanya masomo ya uhasibu hivo ni aina gani ya laptop itanifaa mkuu kwa bajeti ya 500k-600k. Kuna hii niliiona macbook pro 2 kwa 650k na hp pavillon kwa same amount so apart na hizo nishauri mkuu kwa bajeti ya 500k-600k. Ahsanteh mkuu.
 

Attachments

  • IMG-20160831-WA0029.jpg
    IMG-20160831-WA0029.jpg
    87.1 KB · Views: 65
Habari mkuu! naomba ushauri juu ya kununua laptop ambayo ntaitumia kwa masomo,gaming kama gta V,movie na net nafanya masomo ya uhasibu hivo ni aina gani ya laptop itanifaa mkuu kwa bajeti ya 500k-600k. Kuna hii niliiona macbook pro 2 kwa 650k na hp pavillon kwa same amount so apart na hizo nishauri mkuu kwa bajeti ya 500k-600k. Ahsanteh mkuu.
labda used, hakuna laptopya gta v kwa 600,000 mpya.
 
Kwa mfano kwa laptop ya kuangalia movies/series, kucheza game kidogo, na kazi za kawaida kama kuchapa na kuprint na ku peruzi ipi inafaa?
 
Kuna laptop lenovo ideapad 110 processor amd dual core E1 7010 ram 4gb na hd 500gb 525000 je iko poa cheaf mkwawa naomba ushauri hapo
 
Kuna laptop lenovo ideapad 110 processor amd dual core E1 7010 ram 4gb na hd 500gb 525000 je iko poa cheaf mkwawa naomba ushauri hapo
hapana mkuu haipo sawa, unless una matumizi madogo sana, sababu hio processor ni dhaifu kweli
 
Back
Top Bottom