Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,229
- 44,239
Jaman naomba mnipe tofauti kati ya hdd na ssd na ipi yenye storage kubwa mfano unakuta 500hdd na 128ssd
ssd zina speed sana na ni bei ghali, hela ya kununulia 128gb ssd inatosha kununua 1tb hdd. computer yenye ssd inaweza kuwaka kwa sekunde 6 tu wakati yenye hdd inaweza chukua zaidi ya dakika 1. ssd pia inasaidia unapofungua apps zinafunguka upesi upesi compare na hdd. zisome zaidi hapa
https://www.jamiiforums.com/tech-ga...5-muongozo-wa-kununua-memory-za-computer.html
kwangu mi combination nzuri uwe na ssd angalau 128gb na tb unazotaka wewe mwenyewe za hdd, cha muhimu operating system na software zikae kwenye ssd wakati media na mafile usiyotumia ndio yakae kwenye hdd