kesho kutwa
JF-Expert Member
- Dec 7, 2016
- 1,722
- 1,993
Mara ya mwisho iliisha chaji nimechaji Leo nawasha haiwaki, betri iimejaa.. Nikiweka kwenye chaji inawaka taa ya betri na kuzima ishara ya kuwa haiitaji tena chaji.. Sasa nawasha haiwaki tatizo nini? Na haijawai tokea ivi