Kweli
JF-Expert Member
- Jul 14, 2007
- 1,152
- 302
Inategemea wapi unaelekea lakini nitachangia kidogo kwa uzoefu niliopata kwa kusafiri na hao Qatar pamoja na baadhi ya mashirika hayo yalioyatajwa between London na Dar.
Egyptair kweli ni rahisi ila wanasumbua transit masaa ni mengi na wanaweza kukusumbua hapo Cairo kutegemea na karatasi gani unasafiria na mizigo inaweza kupotea transit.
SwissAir ni rahisi vilevile transit fupi, service zao average, good connection Zurich ila nisichopenda mimi ni usumbufu ambapo unafika na kuondoka Dar usiku na kutokea London unaruka mapema mno reporting time saa 11 alfajiri.
KLM na Kenya Airways wana ubia kwa hio connection ni nzuri na una choice zaidi ya kupanga flying time. Service Kenya airways ni nzuri kupita mashirika yote na kama mtu wa ulabu humo ni tusker ushindwe wewe.
Ethiopian bei nafuu service nzuri ila transit nao ni ndefu.
Mimi mara nyingi ninasafiri na hawa Qatar kwa sababu ni nafuu na wakati mwengine ninapata tiketi ya bure kutokana na Q-miles zangu (air millege) Qatar Airways advantage zake, from London - Doha ndege airbus A340 ambayo ina nafasi zaidi ya kunyoosha miguu, cabin storage kubwa, connection time Doha less than hour na service nzuri lakini kutoka Doha- Dar ndege ndogo A320 huna nafasi ya kunyoosha miguu na wafanyabiashara wengi kiasi cha kwamba inakuwa taabu kupata cabin ya ku-store hand luggage, service average ila wanakuheshimu ukiwa privilege club member, na from Dar-London transit ni ndefu mno 7 hours pale Doha tena usiku.
Kwa tiketi rahisi online tembelea ticket comparison sites utapata unafuu kama unanunua e-ticket na jaribu kusafiri kati ya wiki (tue-thurs).
opodo.co.uk (opodo.com)
skyscanner.net
kayak.co.uk
Egyptair kweli ni rahisi ila wanasumbua transit masaa ni mengi na wanaweza kukusumbua hapo Cairo kutegemea na karatasi gani unasafiria na mizigo inaweza kupotea transit.
SwissAir ni rahisi vilevile transit fupi, service zao average, good connection Zurich ila nisichopenda mimi ni usumbufu ambapo unafika na kuondoka Dar usiku na kutokea London unaruka mapema mno reporting time saa 11 alfajiri.
KLM na Kenya Airways wana ubia kwa hio connection ni nzuri na una choice zaidi ya kupanga flying time. Service Kenya airways ni nzuri kupita mashirika yote na kama mtu wa ulabu humo ni tusker ushindwe wewe.
Ethiopian bei nafuu service nzuri ila transit nao ni ndefu.
Mimi mara nyingi ninasafiri na hawa Qatar kwa sababu ni nafuu na wakati mwengine ninapata tiketi ya bure kutokana na Q-miles zangu (air millege) Qatar Airways advantage zake, from London - Doha ndege airbus A340 ambayo ina nafasi zaidi ya kunyoosha miguu, cabin storage kubwa, connection time Doha less than hour na service nzuri lakini kutoka Doha- Dar ndege ndogo A320 huna nafasi ya kunyoosha miguu na wafanyabiashara wengi kiasi cha kwamba inakuwa taabu kupata cabin ya ku-store hand luggage, service average ila wanakuheshimu ukiwa privilege club member, na from Dar-London transit ni ndefu mno 7 hours pale Doha tena usiku.
Kwa tiketi rahisi online tembelea ticket comparison sites utapata unafuu kama unanunua e-ticket na jaribu kusafiri kati ya wiki (tue-thurs).
opodo.co.uk (opodo.com)
skyscanner.net
kayak.co.uk