Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Wakuu Heshima mbele,
I'm in a planning stage kwenye kupanga safari kutoka point A kwenda B, where A and B are variables XYZ points, via usafiri wa anga.
Sasa ishu inakuja ktk kufanya research ndogo, nimeona kama Qatar Airways ina ka-unafuu fulani kwamba naweza ku-save vijidola viwili vitatu vya kuvutia siku nitakapokuwa huko ugenini, ukilinganisha na Airlines nyingine.
Ok, hoja ni kuwa naomba msaada wa mawazo, kwa wale wenye uzoefu na hii Airliner, Je ku-save huku ni cost-effective? Au hussles zinakiuka ubahili? Huduma ni za kuridhisha? Because I want to spend every minute of my life at ease si mnajua maisha yenyewe mafupi ( Raha jipe mwenyewe).
Mchango wenu utazingatiwa na kushukuriwa.
Wakatabahu.
I'm in a planning stage kwenye kupanga safari kutoka point A kwenda B, where A and B are variables XYZ points, via usafiri wa anga.
Sasa ishu inakuja ktk kufanya research ndogo, nimeona kama Qatar Airways ina ka-unafuu fulani kwamba naweza ku-save vijidola viwili vitatu vya kuvutia siku nitakapokuwa huko ugenini, ukilinganisha na Airlines nyingine.
Ok, hoja ni kuwa naomba msaada wa mawazo, kwa wale wenye uzoefu na hii Airliner, Je ku-save huku ni cost-effective? Au hussles zinakiuka ubahili? Huduma ni za kuridhisha? Because I want to spend every minute of my life at ease si mnajua maisha yenyewe mafupi ( Raha jipe mwenyewe).
Mchango wenu utazingatiwa na kushukuriwa.
Wakatabahu.