Msaada kwenye kona...

Msaada kwenye kona...

The FaMa

Senior Member
Joined
Oct 6, 2011
Posts
125
Reaction score
27
Wakubwa, natumai mu wazima na Mungu anawapigania.

Naombeni msaada wa kujuzwa na wajuzi wa mambo katika hili, kwanza samahanini kama nimekosea jukwaa sahihi la kuulizia.

Ok, kwa raia wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), je wanahitaji VISA wanapotaka kuingia nchini mwetu Tanzania?

Nimeuliza hapa JF kwani ninauhakika kuna wajuzi wa nyanja mbalimbali, hivyo naamini nitapata msaada/jibu la uhakika. Hivyo, natanguliza shukrani zangu kwenu nyote mtakao nisaidia kujua hilo. NB. Kwenye google sikuweza kupata 'clear cut' information juu ya hili.

Thanx.
 
Sidhani kama hii ina-apply katika nchi zote za SADC maana mara ya mwisho nilisikia SA wana mpango wa kuingia mkataba na TZ raia wa nchi hizi mbili waingie bila visa. Tusubiri taarifa zaidi kwa wenye ufahamu zaidi.
 
Unahitaji visa yes but hulipii (process) unaginga tu airport,
 
Back
Top Bottom