Msaada kwenye galaxy s3.

mwamko

Member
Joined
Jul 6, 2012
Posts
15
Reaction score
1
Habari zenu wakuu nina galaxy s3 original shida ni kwamba imeanza tabia ya ku-stac mpaka nitoe battery niweke upya ndipo inakaa sawa. Kinacho nikera zaidi ni kwamba wakati imestac ukinipigia kwako inaita ila kwangu kimya kabisa na muda wa warranty umeshapita nifanyeje ikae sawa maana kununua simu nyingine januari hii ya ada za watoto mhhhh. Naomba msaada tafadhali.
 
apo simu tayar ina vitu ving ambavyo vina run ndo mana sometimes inactaki iv jarbu ku restoration ya apps zote kwa ku restore factory then uta download tena
 
apo simu tayar ina vitu ving ambavyo vina run ndo mana sometimes inactaki iv jarbu ku restoration ya apps zote kwa ku restore factory then uta download tena

Asante. Nilifanya hivyo nikabaki na zile apps za factory ilifika mahali nikaifanya ya kupiga na kupokea simu tu ila tatizo bado liko pale pale baada ya masaa kadhaa simu lazima tatizo lijirudie.
 
hahaha akazane na maombi, maombi na technology wapi na wapi
 

Mkuu ingia kwenye recovery mod na ufanye ku wipe cache af twone..
 
 
 
Ingia recovery mod yani zima cm ikiwa imezimika bonyeza volume down na power button kwa mpigo mpaka ilete maandishi kisha nenda wipe cache hlf nenda wipe data factory reset hlf reboot kisha itakua mia. Ukifanikiwa usisahau feedback
 
Ingia recovery mod yani zima cm ikiwa imezimika bonyeza volume down na power button kwa mpigo mpaka ilete maandishi kisha nenda wipe cache hlf nenda wipe data factory reset hlf reboot kisha itakua mia. Ukifanikiwa usisahau feedback

volume down na power button kweny s3???? are you sure? kwanza volume down kwa samsung si unaingia download mode? then kwa s3 lazma home button ihusike... mkuu kua makini
 
Mkuu ukiona maelekezo yanakutatiza sana cheki hiyo video

 
Last edited by a moderator:
Asanteni sana wakuu. Nilikua kimya ili nilete ripoti ya kueleweka baada ya kukamilisha zoezi nimeijaribu simu siku ya pili sasa naona iko poa kabisa. Kweli jamii forum ni🎓
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…