ivunya
JF-Expert Member
- Sep 18, 2015
- 2,286
- 2,199
First selection nacte Kuna ndugu yangu kwenye profile yake Kuna chuo kachaguliwa certificate ya ualimu primary chuo kimoja kipo morogoro, baada ya Muda kapigiwa simu na chuo kingine kutoka dar kiliwepo katika orodha ya vyuo alivyochagua wao wakamwambia kuwa nacte walipeleka majina ya waombaji chuo, hiko chuo nacho wakamchagua certificate ya ualimu primary na join instruction wamemtumia. Chuo kilichopo morogoro nacho wakampigia simu ili athibitishe kuchaguliwa kwake.
nacte wameonesha chuo alicho chaguliwa katika profile yake chuo kilichopo morogoro siyo cha dar, wazazi wake wamemuambia aende chuo cha dar ambacho ajachaguliwa kwenye profile yake
Qns Kuna tatizo lolote endapo akienda kwenye chuo cha dar na kukiacha kile chuo kilichopo kwenye profile yake alicho chaguliwa.
nacte wameonesha chuo alicho chaguliwa katika profile yake chuo kilichopo morogoro siyo cha dar, wazazi wake wamemuambia aende chuo cha dar ambacho ajachaguliwa kwenye profile yake
Qns Kuna tatizo lolote endapo akienda kwenye chuo cha dar na kukiacha kile chuo kilichopo kwenye profile yake alicho chaguliwa.