Mboju
Member
- May 4, 2021
- 41
- 79
Habari za wakati huu wadau, nadhani mtakua poa mkiendelea na majukumu ya kulijenga taifa.
Kama kicha cha mada kinavyosema nahitaji kununua akaunti ya play store console ila tatizo ni master card sina nimejaribu kutumia zile za vodacom but imegoma wanasema hawahitaji prepaid card hivyo naomba kama kuna mtu anayo hiyo akaunti aje tufanye biashara.
Kuna jamaa humu humu jamii forum tuliwahi kufanya biashara hiyo nimemsahau jina maana ni kipindi kirefu jamaa alikuwa muaminifu sana kama bado yumo tafadhali ni pm tuone kama unaweza nisaidia tena au kama kuna mwingine mwenye nayo nalo ni jambo jema.
Kama kicha cha mada kinavyosema nahitaji kununua akaunti ya play store console ila tatizo ni master card sina nimejaribu kutumia zile za vodacom but imegoma wanasema hawahitaji prepaid card hivyo naomba kama kuna mtu anayo hiyo akaunti aje tufanye biashara.
Kuna jamaa humu humu jamii forum tuliwahi kufanya biashara hiyo nimemsahau jina maana ni kipindi kirefu jamaa alikuwa muaminifu sana kama bado yumo tafadhali ni pm tuone kama unaweza nisaidia tena au kama kuna mwingine mwenye nayo nalo ni jambo jema.