habari wanajamvi?.
naomba kwa mwenye kuufahamu mkoa wa morogoro vizuri mimi ni mwalimu tarajari wa shule za misingi.
napenda kuufahamu mkoa huu katika nyanja zifuatazo;_
1. uwekezaji hususani kilimo na ufugaji vinafanyikaje.
2. mawasiliano ya simu, na miundo mbinu ya usafiri.
3. hali ya hewa kiujumla
4.huduma za afya na nishati ya umeme.
5.ghalama za maisha ,hususani nyumba za kupanga na bei za vyakula
6.naomba kujua orodha ya shule za misingi kata ya mzumbe.
NB; Maelezo yajikite katika wilaya ya mvomero na kilombero
asanteni.
naomba kwa mwenye kuufahamu mkoa wa morogoro vizuri mimi ni mwalimu tarajari wa shule za misingi.
napenda kuufahamu mkoa huu katika nyanja zifuatazo;_
1. uwekezaji hususani kilimo na ufugaji vinafanyikaje.
2. mawasiliano ya simu, na miundo mbinu ya usafiri.
3. hali ya hewa kiujumla
4.huduma za afya na nishati ya umeme.
5.ghalama za maisha ,hususani nyumba za kupanga na bei za vyakula
6.naomba kujua orodha ya shule za misingi kata ya mzumbe.
NB; Maelezo yajikite katika wilaya ya mvomero na kilombero
asanteni.