Habari?
Naomba kujua malipo ya mwezi kwa watumiaji wa DSTV explora tafadhali. Maana nimefanya malipo kwa Tshs 142,000 kama ilivyo ada ila TV yangu ina display E 16-4. Nimepiga simu customer care naona wanamaliza vocha yangu pasipo kusema kinachoeleweka.
Msaada tafadhali.
Naomba kujua malipo ya mwezi kwa watumiaji wa DSTV explora tafadhali. Maana nimefanya malipo kwa Tshs 142,000 kama ilivyo ada ila TV yangu ina display E 16-4. Nimepiga simu customer care naona wanamaliza vocha yangu pasipo kusema kinachoeleweka.
Msaada tafadhali.