Mr. Masasi
Member
- May 12, 2011
- 53
- 4
Msada wanajf, kuna ndugu yng anataka kuagizia gari toka japan used, gar ni FORD EXPLORER inauzwa dola 1,561/= kama shling za kitanzania mil 2,341,500= kwa bei zao ambazo wameonesha kwenye mtandao wa tradecarview.com. Je garama za kusafirisha hyo gari iko ndan ya hyo bei yao ya manunuzi? Harafu kodi za hapa kwetu tanzania unapoingiza gari ambayo imetengenezwa mwaka 2000 ni kama shlingi ngapi? Hiyo gar ina cc 2500. Msada wa na jf. Thax a lot.