Mafuta ya ndege bei chee hiyo hata ikila lita 5 kwa kilomita haina shida mkuu.Mwenyewe nina Prado 8996CC inatumia mafuta ya ndege km 2 lita 2 wataalamu nisaidien
Huo mchepuko wako una gundu. Achana nae urudi kule kwa km 9Wadau nina gari Toyota L/C Prado Engine 1KZ - CC 4166 matumizi ya diesel yalikuwa lita 1 kwa km. 9 kama mwezi mmoja uliopita kwa sasa hivi inatumia lita 1 kwa km. 5. Naomba mwenye utaalam wa masuala haya anipe ushauri tafadhali.
Aisee kama tractor vileIla mkuu hakuna 1KZ ni 2994CC ambayo ni 3.0L hio 4166 ni 1HD-T ambayo ipo kwenye Land Cruiser...ninauzoefu na hio 1 KZ binafsi napataga kuanzia 5.7Km/L hadi 6.5km/l hapo ni ikiwa imetoka service na pia nikiwa naendesha kama bibi kizee tofauti na hapo ni 5.0-5.5km/l ingawa 1KZ hii inashida kadha wa kadha kwenye gearbox hio prado yako ni ya mwaka gani? Na mpya? I.e imetoka Japan si muda mrefu?
Wadau nina gari Toyota L/C Prado Engine 1KZ - CC 4166 matumizi ya diesel yalikuwa lita 1 kwa km. 9 kama mwezi mmoja uliopita kwa sasa hivi inatumia lita 1 kwa km. 5. Naomba mwenye utaalam wa masuala haya anipe ushauri tafadhali.
Kumbe tractor linakula sana mafuta?Aisee kama tractor vile
Mbona mi nina trector lipo vizuri katika ulaji wa mafuta , 1 liter per 10 km ila kwenye kulima ndio kuna utofauti kidogo hekari 1 linatumia lit 10, diselKumbe tractor linakula sana mafuta?