Msaada: Kwa wanaoijua nchi ya Switzerland (Uswisi).

Msaada: Kwa wanaoijua nchi ya Switzerland (Uswisi).

BEHOLD

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2013
Posts
5,056
Reaction score
10,729
Salam wanaJF,
Niko safarini kuelekea Basel - Switzeland.

Naomba wanaoijua nchi hii, kiutamaduni, huduma za kijamii, usafiri, recreations, dini, socialization etc! Mnisaidie maana nchi za wazungu sio kama Afrika tunavyojali na kuhudumia wageni.

Karibuni.
 
Salam wanaJF,
Niko safarini kuelekea Basel - Switzeland.

Naomba wanaoijua nchi hii, kiutamaduni, huduma za kijamii, usafiri, recreations, dini, socialization etc! Mnisaidie maana nchi za wazungu sio kama Afrika tunavyojali na kuhudumia wageni.

Karibuni.
Mimi naijua Swaziland
 
Kikubwa ni kuacha ujuaji wa Kitanzania uishi kwa misingi ya nchi husika.

Upigaji kelele ni marufuku huko, kuongea hovyo kama umefungwa mota ya kumwagilizia matango uache, kama una vimelea vya wizi acha mapema.

Bangi ni ruksa unaweza kwenda nayo.
 
Ukifika kule kubali kwanza kuyasoma mazingira kwa muda wa week kadhaa, pia inategemea utakaa muda gani, kama ni mda mrefu kidogo jifunze lugha yao bila wao kujua kama unajua itakusaidia pale unapobaguliwa na kusengenywa utajirekebisha Mara moja, hii imenisaidia sana, kwa bahati mbaya sijawahi kukaa uswiz ila nilipita tu, hivo muda ulikuwa mfupi haikuwa rahis kujua Tamaduni zao, hivo mambo mengine yote generally ni kawaida
 
Salam wanaJF,
Niko safarini kuelekea Basel - Switzeland.

Naomba wanaoijua nchi hii, kiutamaduni, huduma za kijamii, usafiri, recreations, dini, socialization etc! Mnisaidie maana nchi za wazungu sio kama Afrika tunavyojali na kuhudumia wageni.

Karibuni.

Shirikisho (federal, inaongozwa kishirikisho/ kimajimbo) la Uswisi ni nchi isiyo na bahari, imepakana na Italia, Ufaransa, Austria na Ujerumani.
Wana lugha rasmi 3, na moja ndogo ambayo imepewa jadhi maalum. Wanazungumza Kitaliano, Kifaransa na Kijerumani (wao huzungumza zaidi lahaja yao ya Kijerumani, swis dach).
Idadi kubwa ya wananchi wao ni Wakristo na wasiokuwa na dini. Pía kuna mchanganyiko mkubwa wa watu.
Ni moja Kati ya nchi tajiri Sana.

Kila la kheri mkuu.
 
Write your reply...
naifahamu vyema,huwa naitembelea Mara nyingi ktk program Fulani
maana shirika langu nalofanyia kazi lipo ujerumani AmbAyo ni jirani
mji wa Zurich una maisha ghali kulinganisha na mingine
mjini Basel nilibahatika kufika
kiujumlA ni nchi ya kitajiri uwe na hela ya kutosha
mostly wanazungumza kijerumani
pia nilifika mji wa Aarhus
britanicca
lucas mobutu
 
Write your reply...
naifahamu vyema,huwa naitembelea Mara nyingi ktk program Fulani
maana shirika langu nalofanyia kazi lipo ujerumani AmbAyo ni jirani
mji wa Zurich una maisha ghali kulinganisha na mingine
mjini Basel nilibahatika kufika
kiujumlA ni nchi ya kitajiri uwe na hela ya kutosha
mostly wanazungumza kijerumani
pia nilifika mji wa Aarhus
britanicca
lucas mobutu
Mkuu umeadimika sana humu.
Huwa nikiona unazungumzia miji ya nje ya Africa natamani sana kufikia level zako
 
Kuhusu uswis me najua team zao fc basel, young boys,fc Zurich na sion hizi nilizijulia kipindi cha kuweka mzigo kwa mhindi tu aseee
 
Write your reply...
amin ipo cku utafika Mkuu hata mbuyu ulianza kama mchicha
now nipo hapa Cologne Germany
December lazma nije tz kusherekea Xmas kabla ya kufanya programs zetu ktk nchi za Latin America zipatazo 8 lucas mobutu
 
Back
Top Bottom