hatajutia akifata ushauri huu, ila bei ajipange, unanunua onceKuna batery aina ya Bosch ni ya Germany ita kufaa sana ila ina bei kidogo
Atlas za mwanzoni zilikuwa nzuri sana. Siku hizi si nzuri sijui ni kwa nini. Nimenunua ATLAS nikijua bado ni imara, baada ya miezi si hivi ikawashida. Inaonyesha iko fully charging lakini hata kuwasha gari haiwashi.Chukua Atlas, nimeweka kwenye gari tokea mwaka 2014 mpaka sasa bado iko vizuri
Nitakapokuja kununua betri nyingine ya gari, sitonunua tena Atlas.Atlas za mwanzoni zilikuwa nzuri sana. Siku hizi si nzuri sijui ni kwa nini. Nimenunua ATLAS nikijua bado ni imara, baada ya miezi si hivi ikawashida. Inaonyesha iko fully charging lakini hata kuwasha gari haiwashi.
Ikanilazimu ninunue ALPHALINE wauzaji wanadai bado ni bidhaa mpya hivyo haijachakachuliwa. Iko imara sana. Japo najua nayo pia baadaye itachakachuliwa.
Lakini ukipata ATLAS isiyo feki. Ni battery nzuri sana.
Mtu anaeulizia betri jf unadhan atakuwa anamiliki nn zaid ya PASSO ya kulenga kwa Mtu?Gari yako ina injini cc ngapi.
Mzee mi nanunua battery mbovu kwa ajiri ya recycling, nanunua kilo sh 1000. Je upo wapi nije kuichukuwa ulioitoa?Nahitaji kununua batery mpya ya gari N50 naomba ushauri ipi ni batery bora. Matumizi yangu ya gari ni mara chache huwa naiacha bila kuiwasha hata siku 3