Waungwana naomba mwenye kuelewa anijuze kuna vifupisho vinanipa shida sana ninapopitia thread mbalimbali hapa jamvini baadhi ya vifupisho hivyo ni PM utakuta mtu anasema niPM mimi huwa naachwa giza, pia kuna OTIs, mods na EL. nilipata pia shida kwa RIP nikagungua ni Rest In Peace , EL nikagundua ni Edward Lowassa, CDM nikagundua ni CHADEMA.Tafadharini waungwa naombeni msaada kwa mwenye kujua.