Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 51,991
- 69,385
Ndio mkuu..enhee currently umefikia wapi naeSasa umeelewa si ndivyo
Ndio mkuu..enhee currently umefikia wapi naeSasa umeelewa si ndivyo
unajua mkuu huyu binti yupo form six(najua ana stress sana)) nimebaki kumjengea mazingira kwanza akimaliza tu six hope mambo yatakuwa poa...na uhakika kananipenda piaNdio mkuu..enhee currently umefikia wapi nae
anhaa umeandaa mazingira na umemsoma vya kutosha lakini??unajua mkuu huyu binti yupo form six(najua ana stress sana)) nimebaki kumjengea mazingira kwanza akimaliza tu six hope mambo yatakuwa poa...na uhakika kananipenda pia
Mkuu jose jiandae kupata mrejesho si utakuwepo ila...anhaa umeandaa mazingira na umemsoma vya kutosha lakini??
kama kawaida nipo aiseeMkuu jose jiandae kupata mrejesho si utakuwepo ila...
Yote ya nini hayo??
Hayo maswali yoote yatajibiwa na Mungu uliemtumaini hapo awali,kuja humu unakosea sana,utakua polluted tu.Bwana Yesu apewe sifa habari za usiku,
Tukianza na mada kilichonileta hapa kuna dada nimetokea kumpenda sana kwa kipindi cha miaka mitatu sasa3 sasa mimi ni kijana niliyelelewa kwenye misingi ya dini hivyo sijawahi kumeleza wazi hisia zangu kwa sababu zifuatazo;
Kwanza, nimejaribu kumjenga katika mazoea ya urafiki kwanza ili niweze kumtambua zaidi na kuaanda mazingira ya kumueleza ukweli pasipo poteza muujiza huu.
Pili, nimeendelea kutulia zaidi kwa Mungu kwa kuendelea kumuombea kwa Mungu mpaka pale nitakapoona wakati sahihi Mungu.
Kwanini nakuja JF?
-Je ninachokifanya sahihi kuendelea kumsubiri?
-Kuna athari nitapata nikiendelea kutunza huu muujiza wa huyu dada?
-Kitu gani ninaweza kufanya zaidi huyu mdada anipende mimi pasipo kipingamizi?
My note;
-Unaruhusiwa mtu yoyote kuchangia.
-Ushauri wenu utanijenga zaidi.
Mkuu;
Wewe ndo uliyebebwa au ndiye uliye beba hilo rumbesa? Ulikuwa mlokole kwa muda gani?? Kwanza kama hujui, walokole ndio wanaopeana unyumba kwa staha na starehe kuliko mkristo mwingine yeyote. Walokole wameelekezwa na biblia kuwa wasinyimane. Mke hana amri juu ya mwili wake na vivyo hivyo mume hana amri juu ya mwili wake. Upo hapo??
Nadhani ulikutana na viruka njia au wale waliobatizwa kwa maji ya baraka.
2nd Question: Uko stage gani ya ukuaji, kwa maana ya aidha ni mwanafunzi wa MEMKWA, QT, CHUO?Nailewa vizuri jf miaka 21-25 Kati ya hapo
natumia simu ya Mama nimeazima
Nipo Mkuu nambieMkuu kama upo naomba uje hapa nina shida fulani....
Kwann mkuu ?!!Kwa tone yako unaonekana ni mpole. Mwanaume mpole sana havutii