nashukuru mzima
JF-Expert Member
- Jul 11, 2017
- 1,014
- 1,896
Bwana Yesu apewe sifa habari za usiku,
Tukianza na mada kilichonileta hapa kuna dada nimetokea kumpenda sana kwa kipindi cha miaka mitatu sasa3 sasa mimi ni kijana niliyelelewa kwenye misingi ya dini hivyo sijawahi kumeleza wazi hisia zangu kwa sababu zifuatazo;
Kwanza, nimejaribu kumjenga katika mazoea ya urafiki kwanza ili niweze kumtambua zaidi na kuaanda mazingira ya kumueleza ukweli pasipo poteza muujiza huu.
Pili, nimeendelea kutulia zaidi kwa Mungu kwa kuendelea kumuombea kwa Mungu mpaka pale nitakapoona wakati sahihi Mungu.
Kwanini nakuja JF?
-Je ninachokifanya sahihi kuendelea kumsubiri?
-Kuna athari nitapata nikiendelea kutunza huu muujiza wa huyu dada?
-Kitu gani ninaweza kufanya zaidi huyu mdada anipende mimi pasipo kipingamizi?
My note;
-Unaruhusiwa mtu yoyote kuchangia.
-Ushauri wenu utanijenga zaidi.
Tukianza na mada kilichonileta hapa kuna dada nimetokea kumpenda sana kwa kipindi cha miaka mitatu sasa3 sasa mimi ni kijana niliyelelewa kwenye misingi ya dini hivyo sijawahi kumeleza wazi hisia zangu kwa sababu zifuatazo;
Kwanza, nimejaribu kumjenga katika mazoea ya urafiki kwanza ili niweze kumtambua zaidi na kuaanda mazingira ya kumueleza ukweli pasipo poteza muujiza huu.
Pili, nimeendelea kutulia zaidi kwa Mungu kwa kuendelea kumuombea kwa Mungu mpaka pale nitakapoona wakati sahihi Mungu.
Kwanini nakuja JF?
-Je ninachokifanya sahihi kuendelea kumsubiri?
-Kuna athari nitapata nikiendelea kutunza huu muujiza wa huyu dada?
-Kitu gani ninaweza kufanya zaidi huyu mdada anipende mimi pasipo kipingamizi?
My note;
-Unaruhusiwa mtu yoyote kuchangia.
-Ushauri wenu utanijenga zaidi.