Msaada kwa waliopo Morogoro, Mbeya au Rukwa.

Bashatu

JF-Expert Member
Nov 8, 2015
834
885
Natumai mmeamka salama.
Naomba msaada tafadhali,
Kama kuna mtu anayefaham kikundi/vikundi vya wakulima wa Vanilla (associantions/AMCOS) katika mikoa ya Morogoro wilaya yoyote, Mkoa wa Mbeya na Rukwa pamoja na Katavi naomba anijulishe.
Kama ntapata jina la kikundi, mawasiliano ya mwenyekiti/katibu au mwanakikundi ntashukuru sana.
Muwe na weekend njema.
 
Natumai mmeamka salama.
Naomba msaada tafadhali,
Kama kuna mtu anayefaham kikundi/vikundi vya wakulima wa Vanilla (associantions/AMCOS) katika mikoa ya Morogoro wilaya yoyote, Mkoa wa Mbeya na Rukwa pamoja na Katavi naomba anijulishe.
Kama ntapata jina la kikundi, mawasiliano ya mwenyekiti/katibu au mwanakikundi ntashukuru sana.
Muwe na weekend njema.
Msaada tutani tafadhali
 
Back
Top Bottom