Msaada kwa walio UDOM/wenye ufahamu wa hili

Msaada kwa walio UDOM/wenye ufahamu wa hili

Wakuu nimeomba dip za afya udom lakn nmepata tetesi kwamba dip takers wa udom hawana mtihan wa nacte at the end of semister,,,,,
Je kuna ukweli wowote juu ya hili
 
Naomba kujua kwa nini ada ya nursing and midwifery diploma (3,000,000) ni kubwa kuliko hata ya udaktari (1,880,000)? see NACTE admission book
Basi soma udaktari kwenye few fees
 
Back
Top Bottom