Nina Aleji na simu zinazotumia MTKNimeikuta pahala infinix note 5 stylus kwa Bei ya laki sita unusu. Je,Hawa jamaa wame-advance kitu gani kwa divice zao Hadi kufikia bei hiyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Samsung. ... Xiaomi Wana simu zenye MTKNina Aleji na simu zinazotumia MTK
Sent using Samsung Galaxy
Kitu usichojua ni kuwa infinix, tecno, itel na spice ni product za kampuni moja(Transion) ila hiyo spice haijapigiwa kelele sana lakini product zote hizo ni watoto wa baba mmojaSimu hiyo ni bora imeipita tecno, mana ndiyo inayochuana nayo, kama ulikuwa na tecno hapo sasa umelamba dume
Sent using Jamii Forums mobile app
Angalau hii ina sd660, ila still ni ghali, ingekuwa miaka kadhaa iliopita ingemake sense. Redmi note 7 with same specs haifiki hata laki 4, kwa hio bei waweza nunua redmi note 7 mbili na unabakiwa na change.Wamezindua infinix zero 6 inauzwa 850,000/-
Bila shaka kuna vitu wame advance
Angalau hii ina sd660, ila still ni ghali, ingekuwa miaka kadhaa iliopita ingemake sense. Redmi note 7 with same specs haifiki hata laki 4, kwa hio bei waweza nunua redmi note 7 mbili na unabakiwa na change.
Hawa jamaa wana overprice vitu vyao na kudanganya watu sana, yaani wanafanya hadi brand kama Apple na samsung zionekane zinauza vitu bei rahisi.
Ebu jaribu Xiaomi Mi A2 yenye 4gb ram, 64gb rom, snapdragon 660 unaipata chini ya laki tano. infinix wezi!Nimeikuta pahala infinix note 5 stylus kwa Bei ya laki sita unusu. Je,Hawa jamaa wame-advance kitu gani kwa divice zao Hadi kufikia bei hiyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mkuu ni ghali sanaMkuu unaizungumziaje hiyo simu kwa hiyo bei Infinix note 5 stylus kwa laki sita unusu.
Sent using Jamii Forums mobile app