msaada kwa utorents

papag

JF-Expert Member
Jul 31, 2009
1,137
1,608
habari wakuu?
nimedownload na kuinstall hiyo software ktk pc yangu.sasa tatizo ni kwamba na add hizo torents vizuri ili ziweze kudownload.lkn inakuwa hairespond chochote ht kidogo.nini tatizo na nini utatuzi wake?angalia jinsi inavyokuwa
scxqOyY4CEQAAAABJRU5ErkJggg==
 
sijui ni kwangu tu au vp lakini screenshot yako haiload
 
brother kama umegundua torrent zako hazina health (afya) ili torrent ziwe na afya zinahitaji vifuatavyo

Seeders, hawa wanakua wameshadownload hicho kitu au wanacho kwenye pc zao then wanaseed na wewe uweze download

Tracker, hawa wanaprovide means za kupeana vitu toka mtu mmoja kwenda mwengine.

Sasa wewe download imeshindwa kuanza manake hamna watu wanaoseed so huwez receive data

Torrent ni p2p yani peer to peer nipe nikupe lete upewe something like that sasa wewe huna anayekupa.

Hints tu za kuongeza seeder na tracker ni kila unapodownload kuclick option then properties halafu copy tracker then waeke kwenye notes ukiwa na tracker wengi we wapaste hapo ulipowatoa it may help japo si 100%.

Next time kaka kabla hujadownload torrent make sure ina seeder wengi na leecher wachache
 
ahsante sana kaka kwa ushauri wako nitauzingatia
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom