Msaada kwa scenario hii ya mihangaiko ya kazi

kikoozi

JF-Expert Member
Jun 24, 2015
2,030
2,930
Habarini za asubuhi ndugu zanguni, heri ya Christmas na mwaka mpya ujao 2020.

Niende kwenye scenario moja kwa moja:

Assume umefanya kazi kampuni A (1 year and above)

Baadae ukaomba kazi kampuni B, ukapata kazi ukaanza kufanya kazi kampuni B (ndani ya miezi miwili) kampuni X ambayo ilikuwa ndoto zako siku nyingi kufanya kazi, wakatangaza nafasi za kazi za profession yako.

Swali la kwanza linaanzia hapa, je utaomba? Kumbuka una mkataba wa kampuni B, na ndio kwanza una miezi miwili au mmoja.

Swali la pili, je kama utaomba kazi kampuni X, kwenye CV yako utaiweka Kampuni B? (kumbuka una mwezi nao mmoja, au miwili tu tangu uanze)

Assume baada ya kuomba kazi kwenye iyo kampuni X ukaitwa kwenye interview je katika swali la kwanini unaondoka kampuni B, na kwanini ndio kwanza una miezi miwili au mmoja unataka kuondoka unajibu vipi?

Natanguliza shukrani zangu za dhati kabisa

Na nategemea kupata majibu safi na yenye kunielimisha mimi kijana mtafutaji

Karibuni

Sent using komputa mpakato
 
Kubadili kazi ni haki ya kila mtu ili mradi unaondoka kwa kufuata utaratibu unaokubalika.
Halafu huko kampuni X wajibu sababu iliyokupeleka kwamba kazi iliyotangazwa ni kazi ya ndoto yako & it's ur professional. Shida ikowapi kwani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi kwenye cv, utaiweka kampuni B

Sent using komputa mpakato
Najua hofu yako pengine hautaitwa kisa na wao watahofu eti utawakimbia baada ya muda mfupi. Hakuna kitu Kama hicho. Professionally mtu anaangalia unasifa zinazohitajika au huna na hupaswi kudanganya. Weka CV yako Kama ilivyo. Ila kwenye cover letter weka wazi kwamba the job u are seeking for is the job of your dream and other blah blah. Kila la heri
 
Najua hofu yako pengine hautaitwa kisa na wao watahofu eti utawakimbia baada ya muda mfupi. Hakuna kitu Kama hicho. Professionally mtu anaangalia unasifa zinazohitajika au huna na hupaswi kudanganya. Weka CV yako Kama ilivyo. Ila kwenye cover letter weka wazi kwamba the job u are seeking for is the job of your dream and other blah blah. Kila la heri
Shukrani mkuu

Sent using komputa mpakato
 
unaruhusiwa kuappy katika kampuni x na hata ukiitwa katika interview unaweza kwenda sababu katika kampuni B utakuwa ktk kipindi cha majaribio na unaruhusiwa kuacha kazi kwa kutoa sababu ambazo wewe utaona ni sahihi. katika kipindi cha majaribio mwajiri anaweza kumuachisha mfanyakazi kazi katika muda wowote kutokana na sababu atakazokupatia. vilevile unaweza ukaiweka kampuni B katika CV yako kwa kuwa ukiitwa katika kampuni X for interview utaweza kujieleza bado upo katika kipindi cha majaribio, au bado hawajakupatia mkataba, au upo kwa kujitolea baada ya mkataba wako na kampuni A kuisha.
 
unaruhusiwa kuappy katika kampuni x na hata ukiitwa katika interview unaweza kwenda sababu katika kampuni B utakuwa ktk kipindi cha majaribio na unaruhusiwa kuacha kazi kwa kutoa sababu ambazo wewe utaona ni sahihi. katika kipindi cha majaribio mwajiri anaweza kumuachisha mfanyakazi kazi katika muda wowote kutokana na sababu atakazokupatia. vilevile unaweza ukaiweka kampuni B katika CV yako kwa kuwa ukiitwa katika kampuni X for interview utaweza kujieleza bado upo katika kipindi cha majaribio, au bado hawajakupatia mkataba, au upo kwa kujitolea baada ya mkataba wako na kampuni A kuisha.
Shukrani sana mkuu

Sent using komputa mpakato
 
mbona mambo mepesi jamani x waambie nafanya kampuni b lakini favorite yangu ni x na swala la kuvunja mkataba ni haki ya mwajili & mwajiliwa pia unadhani kua ukikosea hapo b mwajili atashindwa kukufukuza?
 
Back
Top Bottom