Nyakwaratony
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 573
- 140
habari za jioni jf doctor, ninafahamu ya kwamba mama anapomaliza kujifungua huwa anatakiwa kukandwa maji ya moto tumboni ili kuziruhusu damu chafu kutoka baada ya kujifungua. je kuna njia gani mbadala ya kuziondoa zile damu chafu? MziziMkavu na Riwa msaada tafadhali bila kuwasahau madaktari wote mliopo hapa jf doctor.
wasalaam
NT
wasalaam
NT
Last edited by a moderator: