ndugu wanajamvi napenda kuuliza kwamba mbona majina ya wanafunzi tuliochaguliwa kujiunga na UDSM kama profile zetu zinavyo onyesha kwa kutumia vyeti vya diploma hayaonekani kwenye website ya chuo isipokuwa wameonyesha ya six leavers tu,je hii inamaana gani? pls msaada.