Nelly Willy
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 579
- 1,197
Kama kuacha hamuwezi ndo mkubali kupokea mizigo ny.oko zenu....
hahahahhaha, khantweeeeeee
Kama kuacha hamuwezi ndo mkubali kupokea mizigo ny.oko zenu....
miss chagga hata ww hahaha....mpe pole bhasiihivi wakati anakojoa anaona utamu wa kula pipi bila ganda hakusema .. leo hii tumshauri,,, mwambie avune alichopanda
kwani huyo jamaa ako ni wa kiume au mwanaume... aache uoga akubali tu mzigo huo.... mdada kaona future kuna wali nyama daily kwanini asijilipue na mimba akuvunje mbawa ushindwe kwenda kwa wengine...haha.. anyway akubali matokeo
miss chagga hata ww hahaha....mpe pole bhasii
View attachment 196907
sasa ataskiaje utam bila kuitoa maganda??
Hapo ni kuchomoa tu, kama hayupo tayari kuliko kuleta kiumbe kijekuteseka huku duniani....swala la kupiga kavu sio kosa kabisa kwani hivyo ndivyo inavyotakiwa......Tena wahi mapema kabla zygote ajatengenezwa.....Huwa nasikitika sana na matukio ya wtoto kuzaliwa na kutupwa au kutelekezwa......
Mmmh hebu justify kuchoropoa.
Kama hamtaki mimba acheni uzinifu...tuone kama zitaingia kwa njia ya hewa