Innocizy
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 1,736
- 1,056
Kuna mdau mmoja ameniomba ushauri na akaomba pia niwaeleze na nyie wadau ili mumpe ushauri pia apime. Ni kwamba walikutana na binti wakazoeana na siku moja wametoka out lahaula yakawapanda wakala "tunda".
Sasa Jana hiyoo binti anadai haoni "siku zake" ndo mdau kachanganyikiwa hajui afanyeje na anadai hayuko tayari kulea. Binafsi nimemwambia akacheki kama ni mimba na kama ni mimba bhasi walee tuu maana mm sio muumini wa kuchoropoa mimba.
Hebu na wewe mpatie mdau ushauri afanyeje.
Nb:Tuvumiliane na lugha zetu.
Sasa Jana hiyoo binti anadai haoni "siku zake" ndo mdau kachanganyikiwa hajui afanyeje na anadai hayuko tayari kulea. Binafsi nimemwambia akacheki kama ni mimba na kama ni mimba bhasi walee tuu maana mm sio muumini wa kuchoropoa mimba.
Hebu na wewe mpatie mdau ushauri afanyeje.
Nb:Tuvumiliane na lugha zetu.