Msaada kwa jambo hili....

G55-MGODI

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2016
Posts
1,353
Reaction score
1,827
Habarini wakubwa,
Napenda kuuliza kuwa ukiwa unamiliki application ya simu mfano hii jamii forums.
Mwanzilishi au muhusika/mmiliki wa app hiyo anapata faida zipi, na kama mapato anapataje?

Natanguliza shukrani.
 
Aisee watu walisusia huu Uzi natamani kujua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…