Msaada kwa jambo hili....

Msaada kwa jambo hili....

G55-MGODI

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2016
Posts
1,353
Reaction score
1,827
Habarini wakubwa,
Napenda kuuliza kuwa ukiwa unamiliki application ya simu mfano hii jamii forums.
Mwanzilishi au muhusika/mmiliki wa app hiyo anapata faida zipi, na kama mapato anapataje?

Natanguliza shukrani.
 
Aisee watu walisusia huu Uzi natamani kujua
 
Back
Top Bottom