Shetani nilisoma nae shule ya msingi songea,alikua anakua wa mwisho darasani.
Baadae alihamia mbamba bay,nasikia alikua anakua wa kwanza huko
kwa sasa sijui yuko wapi,mara nasikia watu wanasema anaishi makaburini,mara baharini,mara mbinguni,sijui kwa kweli yuko wapi ila ni mtu mzuri sana.