Spitzkoppe
JF-Expert Member
- Feb 27, 2014
- 265
- 477
Itakuwa imeombwa na watu weng sana ndo maana wameitoaYaani kwenye Guidebook hiyo kozi ninayoitaka ipo lkn nikitafuta kwenye cas siioni...
Itakuwa imeombwa na watu weng sana ndo maana wameitoaYaani kwenye Guidebook hiyo kozi ninayoitaka ipo lkn nikitafuta kwenye cas siioni...
Labda aisee ila Nacte hawapokei simu bhana... kuna matatizo mengi eti.. ningekuwa Dar ningeenda ofisini kwao. Mfano kuna kozi guidebook inaonyesha ni priority na ada ni 1.2m lakini pale kwenye machaguo sio priority na ada ni 1.6m.Itakuwa imeombwa na watu weng sana ndo maana wameitoa
hongera mkuu umeelezea vizur lkn umesahau changamoto ya mkopo kucheleweshwa sanaChangamoto zipo lakini ni za kawaida kama vyuo vingine na hizi changamoto nadhani kwa kuwa miaka ya karibuni wameanzisha course nyingi hivyo kupelekea kupokea wanafunzi wengi. 1. Madarasa ya kusomea, hii inapelekea kusoma kwa shift unaweza kukuta mnasoma mwaka mmoja lakini unakuta wengine wanamalizia muhula wengine wapo likizo hivyo hivyo. 2. Sehemu za kulala pia ni changamoto kuna uwezekano wa jukosa hostel za chuo hivyo ajiandae kupanga hostel nje ya chuo. 3. Changamoto ya ngono ni kawaida sehemu zozote zile. 4. Vibaka upande wa usiku ajichunge sana anapokua anatoka nje ya chuo kipindi cha usiku. Mazingira yapo poa tu kwa kusomea hasa kipindi hichi cha kiangazi maana wametengeneza vimbweta vya kusomea vingi tu chini ya miti kuzunguka chuo. 6. Chuo kipo mjini hivyo changamoto za mjini za kawaida. 7. Chuo kipo karibu na soko hivyo la vyakula la mabibo. 8. Walimu wapo poa tu. 9. Maktaba pia ni changamoto maana maktaba iliyopo ni ndogo lakini watu wanashea hivyo hivyo na mambo yanakwenda lakini nahisi wanlifanyia kazi hilo
Hahahaaha kweli aisee hilo nalo mmhhongera mkuu umeelezea vizur lkn umesahau changamoto ya mkopo kucheleweshwa sana
1,500,000/=per yearAda yao n sh ngap na wanaanza lini
Likizo Za nit mpaka unasahau shule,, unaenda nyumbani ndio..haya mkuu *boyfrendy je hzo likizo zpoje? yan kipind hcho atatakiw kurud nyumban au inakuaje sasa
Daah naskia had miez sita aisee likizo gani hizo mbona ratba mbovu hvLikizo Za nit mpaka unasahau shule,, unaenda nyumbani ndio..
Eeeh mi nilkua pale, sema nilipospond nkaapply tena mwaka huuDaah naskia had miez sita aisee likizo gani hizo mbona ratba mbovu hv