CleverKING
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 8,503
- 25,466
Aisee!!mjitahidi kunadilika
Aisee!!mjitahidi kunadilika
Aisee! Burudani ya bure hii..!!unawaza kimasikini ukojee mi nakushangaa unangangania dhambi...
Umasikini ni dhambi ukimaliza masikini SAWA lakini ukifa masikini si SAWA...... We endelea
Ukiweza kuunganisha,tayari wewe ni kiwanda!Wakubwa shikamooni, wadogo habari zenu, Naombeni msaada kwa anaejua jinsi ya kuunganisha hii anipe maelekezo plz
Usinganganie dhambi tehetehe siweki koma mkato wala nini umasikini ni dhambi usiinganganieAisee! Burudani ya bure hii..!!
Ukiweza kuunganisha,tayari wewe ni kiwanda!
uchafu uuuuu kwenda zakoAisee! Burudani ya bure hii..!!
Tayari tumejua kama ndani mwako sasa hivi kuna kabati la nguoWakubwa shikamooni, wadogo habari zenu, Naombeni msaada kwa anaejua jinsi ya kuunganisha hii anipe maelekezo plz
Kweli tuacheni dharau jamani,...kwenye maisha hatufanani,..Acha dharau wewe, pengine mwenzio ndio uwezo wake ulipofikia hapo, au amepewa zawadi kwenye birthday ya mwanae au kapewa tu na mtu,tujifunze kuheshimu vitu vya watu na ndio ustaarabu, au ulifikiri kwa kuponda kitu cha mwenzio kua ni takataka ndio wewe utaonekana ni wa high class? Narudia tena Acha dharau.
Mkuu unae busara sana,hebu agiza maji ya kunywa chupa kubwa ya baridi nitakulipia,...ndio uwezo wangu unaishia hapo kwenye maji tuHujui unachokiongea au bila shaka unaongea usichokijua au unaongea ili kufurahisha tu,
Wewe unaweza kua na kabati ya maana lakini unaishi kwenye Nyumba ya kupanga na huyo anayetumia hio kabati kwa "temporary" tu anaishi kwenye Nyumba yake,
Au wewe unaweza kua na tv ya maana lakini huna private car,na mwingine akawa na tv ya bei rahisi lakini anayo private car, haya ni maisha na kila mtu ana uamuzi wake,hiyo nimekupa ni mifano tu ya tofauti za kimaisha na uamuzi wa mtu aishi vipi?
Huko sahihi kusema hata mm naiwazia hiyo kabati bali hua sipendi kubeza kitu cha mtu au kudharau uwezo wa mtu wa kimaisha, jifunze kuheshimu vitu vya watu na uwezo wa mtu,
Badala ya kubeza uwezo wa mwenzio ungejaribu kumsaidia ingeleta maana zaidi,
The things we get in life can make us a living,the things we give to people can make a life, Never look down on anybody unless you're helping them up.
Na wewe pia agiza maji madogo bariid kabisa nalipa Mimi.Vyema sana mkuu. Kwa kuongezea, wakati Mulhat anakula milo mitatu kwa mboga saba, wapo wenzie wanakula mlo mmoja na dagaa akinabadilisha kala ugali na kisamvu. Tuheshimu maamuzi ya watu, tuache majivuni kwa kuwapima watu kwa uwezo tulionao.
Utakua ulianza na biashara haramuHahahaha mi ni wa kike nilianza kujitegemea nikiwa NA miaka 18 NA sasa ni mzee sikushaur uwe NA AKILI ZA kununua uchafu huu
Hahahaa, thanks Mkuu tupo pamoja,Mkuu unae busara sana,hebu agiza maji ya kunywa chupa kubwa ya baridi nitakulipia,...ndio uwezo wangu unaishia hapo kwenye maji tu
dah hebu acheni majungu Ndo mkono wake ulipoweza kufika
Mnamaliza mbavu zetu jamaniTakataka tu.!!!!!
Usikute NA wewe unawazia ushuzi huu
50 had 60 hilo ni kwa matumizi ya muda tu labda kwene tents na geto wakati unajipanga me ndo nliloanzia maisha nalo
Tuwekeeni hapa bei yake tulinganishe na la mbao
Nmechek sana aiseeKwa nini umepoteza pesa kununua takataka hii mkuu Duh....
Hahaha unacheka nini sasaNmechek sana aisee