NAKEMBETWA
JF-Expert Member
- Apr 20, 2012
- 3,518
- 3,130
Vipi ulipona?pumba kabisa unanunuje huu uchafu hata mtoto mchanga hanunui kwendraaaaa uchafu huu
Mgongo wangu umetoka mapunye, msaada tafadhali
Vipi ulipona?pumba kabisa unanunuje huu uchafu hata mtoto mchanga hanunui kwendraaaaa uchafu huu
Hilo kabati alafu eti anaomba ushauri wa jinsi ya kulifungaHahaha unacheka nini sasa
Long time..... Kwani ugonjwa unahusiana NA kabati.....
Mimi lina mwaka sasa na bado lipo vizuri s mtumzaji weweHilo dude endapo litakaa hata miezi 6 umshukuru Mungu. Nayaelewa vzr.
Muache ayaone mwenyeweeeeKwa nini umepoteza pesa kununua takataka hii mkuu Duh....
Halafu unakuja kuonyesha takataka hizi jf
pumba kabisa unanunuje huu uchafu hata mtoto mchanga hanunui kwendraaaaa uchafu huu
Uchafu ndio unaokuweka mjini.
Unawaza uchafu kabisa huu pumbaduu
Jaman mbavu zangu miee mbwahaaaaa haaaaaNina laki 6 mfuko wanyuma wa jeans nakula biereeeee
Abeeee, umesema?Kabati la kiboya...la kitoto, la kike
Kwa nini umepoteza pesa kununua takataka hii mkuu Duh....
Ligeuze kichwa chini miguu juu,Anza kuunga very simple!
Kabati la kiboya...la kitoto, la kike
Ukiwaza kimasikini lazma uwe masikini sasa si ujipinde ununue la ukweli mfyuu hili HAPANA
50 had 60 hilo ni kwa matumizi ya muda tu labda kwene tents na geto wakati unajipanga me ndo nliloanzia maisha nalo
nlikaa nalo2 yrs/3 kuhama hama ndo kuliliharibuWewe ulikaa nalo muda gan kaka. Namie nataka kununua kama hili. Maana sina laki tatu ya kuchongesha kabati la mbao. Nishauri kaka, ama nifanyeje nipate kitu cha kutunzia nguo chumban. Maana zinagaa kitandan hadi uvundo!