Pesanyingi
JF-Expert Member
- Apr 15, 2023
- 396
- 654
Niende moja Kwa moja kwenye mada bila kuwachosha.
Ninaitaji msaada wa dawa ya kifua kubana hasa usiku na kutoa sauti kama ya filimbi kwa umbali na nikikohoa natoa kama kama vikamba kamba.
Tatizo hili limeanza ukubwani japo sina historia ya kusumbuliwa na kifua. Na tatizo hili hutokea nikivuta vumbi vumbi la ndani ya nyuma tu na siyo kitu kingine.
Nahitaji msaada mwenye kujua dawa za mitishamba. Kwa ambaye atakuwa na msaada wa dawa ila kejeli hapana.
Ninaitaji msaada wa dawa ya kifua kubana hasa usiku na kutoa sauti kama ya filimbi kwa umbali na nikikohoa natoa kama kama vikamba kamba.
Tatizo hili limeanza ukubwani japo sina historia ya kusumbuliwa na kifua. Na tatizo hili hutokea nikivuta vumbi vumbi la ndani ya nyuma tu na siyo kitu kingine.
Nahitaji msaada mwenye kujua dawa za mitishamba. Kwa ambaye atakuwa na msaada wa dawa ila kejeli hapana.