Kama uandaaji wa vitabu vya kodi kwa upande wa mfanya biashara je huandaliwa sawa na vitabu/makabati (samahani kwenye A/C ndivyo tulikuwa tunaziita) vya/ya income statement na balance sheet ??
Na je ni vitabu ivyo vitatu muim kwny biashara au kuna vingne zaid??
Sas tax unaandaaje na pia details zinazohusikaFinancial statement ni summary ya transactions zako zote ulizozifanya mwaka mzima kwenye biashara yako kama mapato na matumizi, mali zisizohamishika, madeni ya wateja na ya Kampuni kutokana na huduma mbalimbali inayopewa Kampuni nk. Bila ya hayo kufahamika na kuwa na kumbukumbu nzuri na bora utengenezaji wa Financial Statement iliyo sahihi unakuwa mgumu na hauwezekani. Financial statement inaanzia kwenye balance sheet, profit and loss account, balance sheet hadi cash flow.
Kama uandaaji wa vitabu vya kodi kwa upande wa mfanya biashara je huandaliwa sawa na vitabu/makabati (samahani kwenye A/C ndivyo tulikuwa tunaziita) vya/ya income statement na balance sheet ??
Na je ni vitabu ivyo vitatu muim kwny biashara au kuna vingne zaid??