Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,401
- 20,661
Heshima mbele wakuu
Wife wa kaka yangu ana tatizo la mzunguko wake wa kila mwezi. Tatizo lake limeanza kitambo sana baada tu ya kujifungua, more than 3 years ago.
Kuna kipindi anakaa kama miezi minne bila kuona P, then ikija inakomaa kama mwezi mzima, ikikata inatokomea jumla yaani bila mpangilio maalumu.
Katika kuhangaika kwake, alianzia kwa jamaa mmoja anaitwa Docta Isack Ndodi (?) Dar bila mafanikio. Then akaenda Agha Khan wakampima Xray na kusema eti yupo fresh tu. Japo walimpa dawa, P ilikuja kama kawaida na ilipoisha, haijarudi mpala leo (mwezi wa tatu sasa....)
Kwa sasa ameanza dawa za 'Forever Living products' ingawa ameshapoteza matumaini.
So, hawa ndugu wanauliza kama kuna mtu anafahamu sehemu ya uhakika wanayoweza kwenda na kupata huduma bora itakayomaliza tatizo moja kwa moja. Kama kuna mtu mwenye experience na tatizo hili, msaada tafadhari
Wife wa kaka yangu ana tatizo la mzunguko wake wa kila mwezi. Tatizo lake limeanza kitambo sana baada tu ya kujifungua, more than 3 years ago.
Kuna kipindi anakaa kama miezi minne bila kuona P, then ikija inakomaa kama mwezi mzima, ikikata inatokomea jumla yaani bila mpangilio maalumu.
Katika kuhangaika kwake, alianzia kwa jamaa mmoja anaitwa Docta Isack Ndodi (?) Dar bila mafanikio. Then akaenda Agha Khan wakampima Xray na kusema eti yupo fresh tu. Japo walimpa dawa, P ilikuja kama kawaida na ilipoisha, haijarudi mpala leo (mwezi wa tatu sasa....)
Kwa sasa ameanza dawa za 'Forever Living products' ingawa ameshapoteza matumaini.
So, hawa ndugu wanauliza kama kuna mtu anafahamu sehemu ya uhakika wanayoweza kwenda na kupata huduma bora itakayomaliza tatizo moja kwa moja. Kama kuna mtu mwenye experience na tatizo hili, msaada tafadhari