Msaada: Kutumia pads kwenye computer

Msaada: Kutumia pads kwenye computer

Joined
Sep 27, 2014
Posts
27
Reaction score
2
jamani naombe msaada wenu wadau nina pes 2014 na pes 2015 lakini zote ninapoconect pad hazichez ninatumia key board tu sijui nifanyaje nisaidieni jinsi ya kuweza kuchezea pad kwenye pes
 
kama pad yako ina button ilioandikwa analog ibonyeze uone kama taa inawaka, au kama kuna alama yoyote inayoonyesha pad imekuwa connected.

kama una uhakika pad ni nzima na imekua connected fungua folder lako ulipo install pes halafu fungua settings nenda kwenye joystick then map button zako za pad na pes.
 
inafanya kazi vizuri lakini inaruhusu kucheza one person with pc so nataka nicheze mm na mtu mwingine tunataka tucreate kombe mm na yeye tushindane kila mtu achague team yake
 
inafanya kazi vizuri lakini inaruhusu kucheza one person with pc so nataka nicheze mm na mtu mwingine tunataka tucreate kombe mm na yeye tushindane kila mtu achague team yake

Make sure umechomeka pad, then kabla mechi/kombe halijaanza kuna sehemu utaona kialama cha keyboard au pad. Ivute pad upande WA kulia na keyboard upande kushoto then utaeweza cheza 2 player
 
Title yako jitahidi uwe unaandika kilichomo ndani, watu wengine wakija na tatizo kama lako wawe wansearch wanapata kirahisi...
 
Back
Top Bottom