Habari zenu Wakuu!
Mwezi Januari nilisex na shemeji yenu/wifi yenu na kwa kuwa hatukuwa tayari kuwa na mtoto mwingine ikanibidi nimnunulie p2, nikampatia kisha nikaenda kazini (mkoani).
Sasa leo ameniambiwa kuwa ile p2 hakumeza ila alimeza j4 ya wiki iliyopita, na alivyomeza kuna damu ilitoka kuanzia sa 4 mpaka sa 8 ikastop, damu hiyo sio ya period, ilikuwa nzito na kukatokea madonge madonge kama matatu hivi.
Sasa wakuu swali langu ni hili, je yale madonge yanasababishwa na nini? na imekuaje mpaka ameze p2 ndo madonge hayo yatoke kwa sasa anajisikia mapigo ya moyo kwenda kasi, kutapika n.k ila najua hizi ni effects tu za dawa hii ya p2.
Msaada wenu Wakuu!
Mwezi Januari nilisex na shemeji yenu/wifi yenu na kwa kuwa hatukuwa tayari kuwa na mtoto mwingine ikanibidi nimnunulie p2, nikampatia kisha nikaenda kazini (mkoani).
Sasa leo ameniambiwa kuwa ile p2 hakumeza ila alimeza j4 ya wiki iliyopita, na alivyomeza kuna damu ilitoka kuanzia sa 4 mpaka sa 8 ikastop, damu hiyo sio ya period, ilikuwa nzito na kukatokea madonge madonge kama matatu hivi.
Sasa wakuu swali langu ni hili, je yale madonge yanasababishwa na nini? na imekuaje mpaka ameze p2 ndo madonge hayo yatoke kwa sasa anajisikia mapigo ya moyo kwenda kasi, kutapika n.k ila najua hizi ni effects tu za dawa hii ya p2.
Msaada wenu Wakuu!