Majigo
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 5,519
- 1,831
Mke anamdharau mumewe na anakuwa na mamlaka ndani ya nyumba. Mume kawa kama zezeta, hajali ndugu zake! Tumegundua kamuendea kwa mganga na kuroga ili awe na mamlaka juu ya mumewe na mali zake.
Msaada wakuu, kwanini mume anashindwa fanya kitu cha maana zaidi ya kuendeshwa na huyo mke?
Ahsante, Jigo.
Msaada wakuu, kwanini mume anashindwa fanya kitu cha maana zaidi ya kuendeshwa na huyo mke?
Ahsante, Jigo.