Msaada: Kutegua Mume toka mapenzi ya kichawi (Limbwata)

Msaada: Kutegua Mume toka mapenzi ya kichawi (Limbwata)

Majigo

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2012
Posts
5,519
Reaction score
1,831
Mke anamdharau mumewe na anakuwa na mamlaka ndani ya nyumba. Mume kawa kama zezeta, hajali ndugu zake! Tumegundua kamuendea kwa mganga na kuroga ili awe na mamlaka juu ya mumewe na mali zake.

Msaada wakuu, kwanini mume anashindwa fanya kitu cha maana zaidi ya kuendeshwa na huyo mke?

Ahsante, Jigo.
 
Mmegundua kaenda kwa mganga sasa Na nyie c mwnde uko au mkamuombee.... au kuna utaalamu wa kisayansi unaweza tegua…!!?
 
Mmegundua kaenda kwa mganga sasa Na nyie c mwnde uko au mkamuombee.... au kuna utaalamu wa kisayansi unaweza tegua…!!?

niko hapa Ili kushare Nanyi uenda kuna Mmoja Aliye wahi fikwa na hili na akalisov kwa njia anayoijua Yeye
samahani sijui Pa Kuanzia Ndugu
 
niko hapa ili kushare nanyi uenda kuna mmoja aliye wahi fikwa na hili na akalisov kwa njia anayoijua yeye
samahani sijui pa kuanzia ndugu
Unaweza kumsaidia.....
Lakini............
Awali ya yote ................
Imani ya wewe na huyo aliye logwa ni ipi?
 
unaweza kumsaidia.....
Lakini............
Awali ya yote ................
Imani ya wewe na huyo aliye logwa ni ipi?

imani ya huyu mume nina mashaka nayo kwakweli!
Nimsaidieje Ndugu?
 
imani ya ninyi ndugu zake inaweza kusaidia uponyaji.imqni ya muhanga haiwezi kupatikana maana yupo shimoni na wala msimshirikishe.

inasikitisha na kuumiza sana , na vipi kuhusu huyu mke tumfanyeje ?..maana anajiona yeye ndo kamuumba Au Kumzaa Huyu Mume!
 
Kuoa kaoa yeye kero mpate nyie muacheni kwani lazima yeye ndio asaidie
 
Mmegunduaje kaenda kwa mganga😕😕

Kitu Cha Kwanza Mazingira Yalivyo Ktk Hii Ndoa, Yako Wazi Kuna Nguvu Kati Yake
suala Limefika Pabaya Kwani Kati Ya Ndugu Zake Wamemchoka Na Kutufinya Sikio.....Kuna Mambo Mengi Ndugu Kwani Nina Shaka Huyo Mke Yumo Humu!!
 
Huku kwetu Njombe waganga wapo unachopaswa kufanya ni kuiba chupi ya huyo ndugu yako na kumpelekea mganga na ikishwa fanywa mambo unamrudishia kila kitu kitakuwa sawa eti.
 
niko hapa Ili kushare Nanyi uenda kuna Mmoja Aliye wahi fikwa na hili na akalisov kwa njia anayoijua Yeye
samahani sijui Pa Kuanzia Ndugu

Ndo umefika muda wa kurudisha imani kwa MUNGU…
 
Mkuuu, mbona simple. Mchawi ukifata direct lazima akae sawa. Wew mfate mkewe mkiwa wawil tu. Mwambie unampa muda wa siku kadhaa abadilishe ishu la sivyo ajipnge na bomu lako
 
Back
Top Bottom