Mjomba Fujo
JF-Expert Member
- Oct 27, 2012
- 2,322
- 5,946
Wakuu habari,
Nina shida ya kupata bidhaa kutoka kenya, utaratibu upo vipi kusafirisha, kuna material nimezi spot kenya nahitaji kuzileta bongo, nimewasiliana na muuzaji tayari, sasa nahitaji kufahamu ni njia ipi nzuri nitumie ili niweze kuzipata.
NB:
Wale wa Tz vs ke naomba mkae kando.
Nina shida ya kupata bidhaa kutoka kenya, utaratibu upo vipi kusafirisha, kuna material nimezi spot kenya nahitaji kuzileta bongo, nimewasiliana na muuzaji tayari, sasa nahitaji kufahamu ni njia ipi nzuri nitumie ili niweze kuzipata.
NB:
Wale wa Tz vs ke naomba mkae kando.