Msaada kupata dawa za PEP

Msaada kupata dawa za PEP

Me kupima so tatizo nipo shida nilyekutana naye alikata kutumia kondomu na hata kupima kakata nimeota waswas ndo Mana nahitaji izo dawa
Usiogope mwaya..umechukua hatua sahihi. Fanya uende hospital ya wilaya mapeema. Ni bora kunywa kwa siku 30 na sio maisha yako yote..Nipo nyuma yako...
 
Sipafahamu Ila mm nipo maeneo ya riverside
🙄🙄🙄Ushapata ngoma huo mtaa hatari sana ,ila bado sana ndani ya wiki hakikisha ushaanza dozi hata kesho ukija mitaa ya mnazi mmoja, ukandisha ndani ndani kama unakuja posta huku kisutu zipo pharmacy za wahindi kibao wanazo izo dawa ila wanakera wauzaji wanakuwa wanawake , pharmacy nzuri ipo pale Azikiwe posta Ina kila aina ya dawa uswa ule wa bank ya crdb wauzaji wako kama watatu wote wanaume fresh tu hapo kadogo ila la kisasa zaidi
 
Me kupima so tatizo nipo shida nilyekutana naye alikata kutumia kondomu na hata kupima kakata nimeota waswas ndo Mana nahitaji izo dawa
Kuwa Makini Bro...Ukiona Mtu wa Namna hiyo Ni Vyema Kuacha Sahivi Unataabika Sasa Kwa Starehe Fupi
 
Kupewa dawa inachukua mlolongo mrefu nimepima hiv na nmeambiwa Tena nikapime Figo na ni hospital ya serikali Kuna folen mno
 
Hupewi PEP bila kupimwa ngwengwe Kwanza. Jiandae kisaikolojia, ukikutwa unayo bhaasi imeisha hiyooo unapewa referral kwenda kuanza ARVs hapo ndo mnakutana wengiiii kama club flan hv yaan full kuchoreshana, mpaka unajutaaa
🤣🤣🤣🙌
 
Hupewi PEP bila kupimwa ngwengwe Kwanza. Jiandae kisaikolojia, ukikutwa unayo bhaasi imeisha hiyooo unapewa referral kwenda kuanza ARVs hapo ndo mnakutana wengiiii kama club flan hv yaan full kuchoreshana, mpaka unajutaaa
Mkuu hiyo Avatar yako

Sent from my OPPO A57 using JamiiForums mobile app
 
Hupewi PEP bila kupimwa ngwengwe Kwanza. Jiandae kisaikolojia, ukikutwa unayo bhaasi imeisha hiyooo unapewa referral kwenda kuanza ARVs hapo ndo mnakutana wengiiii kama club flan hv yaan full kuchoreshana, mpaka unajutaaa
hahahahahaha qmmmmmq
 
Back
Top Bottom