Gushleviv
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 3,432
- 5,141
Habari wadau..yeyote anaeweza kunisaidia kutoa hicho kiduara kwenye simu yangu , kinatokea kila ninapotap. Simu ni SamsungA01.
cc Chief-Mkwawa
cc Chief-Mkwawa
Imekaa kama Accessibility setting hivi zile za walemavu.Habari wadau..yeyote anaeweza kunisaidia kutoa hicho kiduara kwenye simu yangu , kinatokea kila ninapotap. Simu ni SamsungA01.
cc Chief-Mkwawa
View attachment 1680494
Nimefanikiwa Mkuu kama ulivyoelekeza...Asante sanaa.Imekaa kama Accessibility setting hivi zile za walemavu.
Nenda setting Kisha accessibility kisha something interaction ama assist menu, angalia humu ndani somewhere Uta switch off