silver25
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 743
- 44
Ndugu wadau nimekuwa nikifuatilia Bunge kwa umakini sana na Kuona Chama cha demokrasia na Maendelea CDM wakitoka nje kwa kukataa kuendelea kujadili muswada wa Mapendekezo ya Katiba mya kwa kutaka usomwe kwa mara ya Kwanza.. wakimaanisha uli ulio somwa kwa mara ya kwanzqa ulikataliwa na wabunge wote kwasababu uliandikwa kwa Lugha ya Kiingereza kwa maana hiyo ni Zero. kama wameanza upya.
Bado sijajua Faida zake je Munaweza niaidia ili namimi nikiona wanatoka nijue labda wanania ya Kutusaidia sisi Watanzania au wanania ya kuuchelewesha uhondo wa katiba itakayo tusaidia sisi wananchi wa chini? nitafurahi sana kupata details za kutosha
Bado sijajua Faida zake je Munaweza niaidia ili namimi nikiona wanatoka nijue labda wanania ya Kutusaidia sisi Watanzania au wanania ya kuuchelewesha uhondo wa katiba itakayo tusaidia sisi wananchi wa chini? nitafurahi sana kupata details za kutosha